Mungu anaangalia Moyo tu?


 Kuna makusanyiko ya ibada mbalimbali wanajali mavazi au mwonekano wa nje wa muumini na kama anaonekana tofauti anazuiwa kuingia kanisani, na makusanyiko mengine hawajali. Mfano tuliwahi kujadili suala la mavazi ya akina dada, wakaka waliookoka kuvaa cheni na kutoboa masikio na kuonekana haina madhara kwa mkristo.

Siku hizi fasheni ya kuvaa miwani ya jua, kuvaa kofia na tumia simu kwenye kusanyiko la ibada inaonekana ipo baadhi ya sehemu, Je Mungu anajali haya? Anaangalia Moyo tu?

No comments:

Post a Comment