Dr. Maya Angelou: “Kuna njia nyingi kwenda kwa Mungu.”

Share it Please

 




Chini ni video ambayo marehemu Maya Angelou alizungumza kwenye kipindi Super Soul Sunday kinachoendeshwa na Oprah kwamba kuna njia nyingi kwenda kwa Mungu.

Lakini Neno la Mungu linasema njia ni moja tu, Wokovu ni Kupitia Yesu Kristo PEKEE. Ndiye njia ya kwenda kwa Mungu. Je wewe una maoni gani?



No comments:

Post a Comment