Kusikiliza nyimbo za kidunia haifai kwa Mkristo?

 




Bwana Yesu Asifiwe, Wapendwa naomba kuuliza je kusikiliza nyimbo za Bongo fleva(za kidunia) ni dhambi? Na kwa nini ni dhambi? Naomba jibu lako.

–Theodory Constantine

No comments:

Post a Comment