ANGALIZO


WEBSITE HII IPO KWA AJIRI YA WAKRISTO WOTE. HAIFUNGAMANI NA DINI AU KANISA LOLOTE LILE.

Contact Us

Christian Online Services Organization
P.O.Box 212
Bagamoyo - Pwani
Tanzania

Email: christianonlinetz@gmail.com



POWERED BY:
TCDI

Contact Us

Name

Email *

Message *

Web Traffic


CONTACT US TO BE LISTED ON CHIRISTIAN MAGAZINE

CONTACT US TO BE LISTED ON  CHIRISTIAN MAGAZINE

Search

Blog Archive

Christian Online Membership

Follow us on Facebook

KUMJUA MUNGU

 





KUMJUA MUNGU NI CHANZO CHA MAFANIKIO YAKO YOTE
21 Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia.
Ayubu 22:21

Kumjua Mungu ni kuwa na ufahamu wakutosha kumuhusu Mungu.Unafamu yeye ni nani ,ana nguvu kiasi gani, uweza alonao nk hii inatufanya tujiweke chini ya utawala wake Na kutoa Maisha yetu yote kwa kwake .

Kufanikiwa kibiblia ni kuwa vizuri maeneo yote kwenye maisha Na wanadamu wengi tunapenda kufanikiwa, kila mmoja yupo busy eneo Lake kuhakikisha anafanikiwa ila kutokana na andiko hapo juu tunapaswa kumjua Mungu sana sio kidogo na mafanikio yatakuja tu sio kuyatafuta.
Ni vizuri kujua kuwa Mungu ametuandalia kila tunachohitaji kwenye maisha yetu na kinapatikana kwaajili yetu ila tunavielewa na kuvipata kwa kumjua Mungu.
3 Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.
2 Petro 1:3

Uweza wa uungu umetukirimia (Umetupatia) kila tunachohitaji kwaajili ya uzima(maisha yetu ya mwilini) na utauwa(maisha yetu ya Rohoni) kwa kumjua yeye. Hii inamaana hivi vitu hatuwezi kuvipata kama hatamjua yeye aliyetuita kwaajili ya utukufu wake mwenyewe.

Weka shauku, matamanio yako kumjua sana huyu Mungu mwenye vitu vyako vyote unavyovihitaji. Usiweke jitihada kutafuta vitu weka jitihada ya kumtafuta Mungu mwenye vitu.
#ZaidizaidinikufahamuYesunijuependolakonawokovuwakokamili

Na mchungaji Imani Boaz



Share this:

Post a Comment

 
Copyright © Christian Online Services - East Africa. Designed by OddThemes