Mambo 10 ya kuzingatia kabla na wakati wa kuendesha gari umbali mrefu






Kuendesha gari ni suala linalohitaji umakini na utulivu mkubwa, hasa pale unapoendesha gari umbali mrefu. Mara kwa mara kumeshuhudiwa ajali mbalimbali ambazo kimsingi zinatokana na madereva kutokuzingatia kanuni muhimu katika utumiaji wa vyombo vya usafiri.

Ili kuhakikisha usalama wako pamoja na watumiaji wengine wa barabara, yapo mambo kadhaa unayopaswa kuyazingatia kabla na wakati wa kuendesha gari umbali mrefu.

1. Kagua na andaa gari
Kabla ya safari yoyote gari linahitaji kukaguliwa na kuandaliwa, hasa kabla ya safari ndefu. Kuna mambo kadhaa unayohitaji kuyakagua kwenye gari lako:

Kagua hali na ubora wa magurudumu. Hakikisha magurudumu yamejaa vizuri na hayajazeeka.
Kagua mafuta lainishi (oil). Hakikisha gari yako ina mafuta lainishi ya kutosha tena ya ubora unaotakiwa.

Kagua kiasi cha maji. Maji? Ndiyo maji ni muhimu sana kwenye gari kwa ajili ya kupooza injini ya gari pamoja na kusafishia vioo.

Kagua utendajikazi wa injini. Hakikisha injini yako inafanya kazi vizuri.

Kagua sehemu nyingine za gari kama vile breki, kiongeza mwendo (accelerator), usukani, taa, honi, viashiria (indicators), n.k.

Usibebe mizigo isiyokuwa ya lazima kwenye gari. Hii itakupotezea mafuta na nafasi bila sababu.

Hakikisha unalikagua gari lako vyema na kuliandaa kwa ajili ya safari. Unaweza pia kumtumia mtaalamu wa magari ili akusaidie kulikagua na kuliandaa kwa safari yako.

2. Pumzika
Ili uweze kuendesha gari vyema wakati wa safari ndefu ni muhimu kupumzika kwa kiasi cha kutosha kabla na wakati wa safari.

Hakikisha kabla ya safari unapata muda wa kutosha wa kulala ili kuepusha kusinzia barabarani kunakoweza kusababisha ajali. Unapokuwa barabarani unaweza pia kupumzika baada ya umbali fulani ili usichoke sana.

Kumbuka! Kupumzika uwapo safarini kutakuwezesha kupata nguvu zaidi na kutoa nafasi ya gari lako kupoa ili kuepusha ajali ya gari kuwaka moto.

3. Fahamu sheria na kanuni
Kuna kanuni zinazotawala matumizi ya barabara pamoja na vyombo vya usafiri. Ili kuepuka kuingia kwenye matatizo, hakikisha unafahamu vyema sheria za barabarani za eneo unalokwenda. Unaweza kuzingatia haya:

Beba vibali na nyaraka muhimu za dereva na gari Mf. leseni, bima, n.k.

Kama utavuka mipaka ya nchi beba pasi ya kusafiria pamoja na Visa kama inahitajika.

4. Beba vitu muhimu
Kama ilivyo ada, safari inahitaji maandalizi. Hakikisha unabeba vitu muhimu unavyoweza kuvitumia kwenye safari yako kama hivi vifuatavyo:

Chakula na vinywaji. Ikiwa hutonunua chakula au kupata mahali pa uhakika pa kununua chakula na vinywaji, basi beba chakula chako utakachokula mara uwapo safarini.

Beba kisanduku cha huduma ya kwanza. Ni muhimu kuwa na kisanduku cha huduma ya kwanza kwenye gari ili upatapo tatizo la kiafya kikusaidie.

Beba vifaa vya msingi vya matengenezo ya gari. Vifaa kama vile jeki, spana, tochi, n.k. ni muhimu sana.

5. Tumia mafuta vizuri
Hakikisha unatumia mafuta vizuri mara uendeshapo gari umbali mrefu ili kuhakikisha unapunguza gharama zisizokuwa za lazima.

Hakikisha pia huachi kiwango cha mafuta kipungue sana ili usije ukaishiwa mafuta kwenye eneo ambalo liko mbali na kituo cha mafuta.

6. Usitumie kilevi
Chanzo kikubwa cha ajali ni ulevi au matumizi ya pombe kwa madereva. Pombe hukufanya ushindwe kumudu gari vyema, hivyo usitumie kilevi kabla na wakati wa safari.

7. Fahamu kuhusu hali ya hewa
Safari yako inaweza kuathiriwa kwa kiasi kikubwa na hali ya hewa. Hivyo ni vyema ukahakikisha unafahamu hali ya hewa ya eneo unalokwenda ili ujiandae mapema.

Kwa mfano kama kunatarajiwa kunyesha mvua, ni vyema ukachunguza kama barabara utakayoitumia kama huwa inapitika wakati wa mvua ili usije ukakwama.

8. Endesha kwa mwendo wa wastani
Mwendokasi ni chanzo kikubwa cha ajali na matatizo mengi barabarani. Ni muhimu kuendesha gari kwa mwendo wa wastani ili kuepusha matatizo yasiyokuwa na ulazima.

Kumbuka! Unapoendesha gari kwa mwendo wa wastani ni rahisi kujihami mara kunapotokea tatizo barabarani.

9. Zingatia burudani
Burudani tena? Ndiyo, unaweza kubeba miziki ambayo itakuburudisha wewe pamoja na wale unaosafiri nao ili msichoke muwapo safarini. Kusikiliza mziki wakati wa kuendesha gari kutakuweka katika hali (mood) nzuri sana.

10. Fahamu vyema eneo unalokwenda
Je unafahamu vyema barabara utakayoitumia kufika kwenye eneo unalokwenda? Ili kuepuka kupotea au kukwama kwenye safari yako, ni muhimu ukafahamu vyema eneo unalokwenda.

Unaweza kuwauliza watu wanaofahamu eneo hilo au kutumia ramani mbalimbali kama vile Ramani za Google.

Pasipo shaka naamini umeona jinsi ambavyo kuendesha gari umbali mrefu kunavyohitaji maandalizi na mikakati muhimu. Kwa hakika ukizingatia mambo haya yaliyoelezwa hapa utaweza kuwa na safari salama yenye amani na furaha.

(SOURCE MUUNGWANA BLOG)
Read More

Wakulima wilaya ya Ikungi wampongeza Rais Magufuli kwa mfumo wa stakabadhi ghalani



Wakulima Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, wamempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuelekeza ununuzi wa mazao yao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani.

Pongezi hizo walizitoa mwishoni mwa wiki wakati wa ulipwaji wa fedha zao baada ya kuuza choroko kwa  njia ya stakabadhi ghalani katika Kata ya Iglanson.

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo akizungumza wakati wa utoaji wa malipo hayo alimshukuru Rais Dkt. John Magufuli kwa kuwajali wakulima.

” Kipekee nimshukuru Rais Magufuli kwa kuelekeza matumizi ya mfumo huu wa stakabadhi ghalani kwani umekuwa ni mkombozi kwa wakulima wetu.” alisema Mpogolo.

Alisema katika wilaya hiyo wakulima zaidi ya 500 wamenufaika na mfumo huo ambapo wameweza kupata zaidi ya sh.milioni 139 na kuokoa zaidi ya sh.milioni 54 ambazo wangenyonywa wakulima.

Mpogolo alisema changamoto kubwa iliyokuwepo ni walanguzi hao kujikita kwenye maeneo ya vijiji na kuupinga mfumo huo kwa kuwa ulikuwa ukiwanufaisha kwa miaka mingi.
lisema wachuuzi walikuwa wanatumia vipimo feki kwani utakuta katika kilo 50 zitazopimwa na mkulima utaona kilo tatu zilikuwa zikikatwa kiujanja na walanguzi hao.  Huku wachuuzi wakinunua kilo moja kati ya sh.400 hadi 600 lakini kwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani waliweza kuuza kwa sh.1075 kwa kilo kwenye mnada wa tarehe 14 mwezi Mei 2020.

Mpogolo alitaja changamoto nyingine kuwa ni walanguzi hao kuwalaghai wakulima kuwa vyama vya ushirika vilikiwa havina uwezo wa kuwalipa fedha zao siku hiyo hiyo wakati sio agizo la mfumo.

Akimuongelea mkulima Joyce Nzela ambaye alitoa malalamiko kwa Rais Magufuli wakati alipo simama kwa muda na kuongea na wananchi wakati akiwa njiani kuelekea Dodoma akitokea Chato, ambaye alilalamikia mfumo wa ununuzi wa zao hilo alisema walipofuatilia hakuonekana katika orodha ya wakulima waliopeleka choroko  kwenye AMCOS ya Kijiji cha Mayaha kama alivyodai. Hata hivyo kumbukumbu zilionyesha kwenye mkutano wa kutoa elimu ya mfumo uliofanyika Mei Mosi 2020 Kijiji cha Mtavila kuwa Joyce, alikuwa miongoni mwa wachuuzi walioupinga mfumo na kuwataka wakulima wasiukubali.

” Tulifuatilia tuligundua jina lake halikuwepo kwenye orodha ya wakulima ambao walipaswa kulipwa lakini wenzake, Zuhura na Amina walikuwepo kwenye orodha ya AMCOS ya Iglanson na malipo yao yalikuwepo.” alisema Mpogolo.

SOURCE MUUNGWANA BLOG



Read More

Prayer Request


PRAY WITH ME


I’m what God says I am. Christ in me is my victory and glory in this life! I’m a member of His body, of His flesh, and of His bones, ruling, reigning, and prevailing with Christ over the world and circumstances. Greater is He that’s in me than he that’s in the world.
Read More

Faida za Ukwaju







Juisi ya ukwaju ina umuhumi sana katika miili yetu, pia tunda la ukwaju ni tunda lenye faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu. Tunda hili huweza kutumika kutengeneza juisi ambayo matumizi yake yana faida kubwa sana katika afya ya mwili wa mwanadamu.

Zifuatazo ndizo faida zitokanazo na juisi ya ukwaju;
1. Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini ‘antioxidants’ ambavyo huzuia Saratani (cancer) kwa mtumiaji

2. Chanzo cha Vitamini B na C vile vile “carotentes”

3. Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo

4. Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni

5. Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa

6. Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile disorders)

7. Husaidia kurahisisha choo (laxative)

8.Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na hivyo kuimarisha moyo

9.Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua au yenye vidond

10.Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo)

Hizi Ndiyo Faida Kumi (10) Za Kula Ukwaju!
Unatakiwa ujaribu kuweka ukwaju karibu katika kila mlo wako kwa kila siku kwasababu ukwaju una faida nyingi kiafya ambazo hakika zitakufanya uwe na afya njema au kukuimarisha afya yako kiujumla

(Source Muungwana Blog)
Read More

10 things you didn’t know about Pastor Dr. Myles Munroe







 He passed on with the wife in a plane crash with seven others as they headed to the Global Leaders Conference in The Great Bahamas. Myles Munroe was a widely known and respected evangelist who died on November 9th, 2014. His death came as a shock to many who looked up to him for inspiration. He will forever be remembered for his good works and inspirational messages. Here are 10 things you probably didn’t know about the late preacher.

1.Myles Munroe was born on April 20, 1954 in Nassau, Bahamas and was a lifetime resident in his home land.
2.He graduated with a degree in fine arts, education and theology from the Oral Roberts University in 1978 at age 24, became a Masters degree holder in administration from the University of Tulsa in 1980 at age 26. Munroe had received several honorary doctorate degrees over the years.
3. Dr Munroe had two children from the marriage to his late wife Ruth Ann Munroe - a daughter Charisa Munroe and a son Chairo Myles Jr and emphasised that his family was his greatest responsibility and his marriage was his most sacred trust.
4. Dr Munroe was the founder of Bahamas Faith Ministries International (BFMI) - a non-profit Christian growth and resource centre, and Myles Munroe International (MMI) - an outreach center which includes leadership training institutes, a missions agency, a publishing company, a television network, radio and Web communications, and a church community.
5. He wrote over 38 books on several life issues including sex, family relationships, finance and spiritual growth. Some of his best selling books include Waiting and Dating, The Spirit of Leadership, Rediscovering the Kingdom, Understanding Your Potential, and God’s Big Idea. His books have received rave reviews and some of them have even been translated in English, Spanish and Portuguese.
6. He was a father, pastor, preacher, author and motivational speaker who traveled round the world pulling a crowd of about 500,000 people annually including governments leaders, business men and women, students and church congregations in the past forty years. Munroe also served as a business consultant to Fortune 500 companies and corporations (SOURCE  Daily Monitor Uganda, Brian Mutebi 2014)


Read More

Jinsi ya kuwa mke mwema

Mwanamke mwema hujengwa kwa misingi ya mienendo na tabia za mtu huyo. Ili ili mwanamke aweze kuwa mwema anahitaji mambo yafuatayo;

Uhalisi wa maisha
Maisha halisi ya mwanamke anayetarajia kuwa mke/ mke tayari hii ni kumaanisha kuwa wanawake mashujaa tunapaswa kuishi maisha ambayo yanatutambulisha kama mfano wa kuigwa ili tunapozungumza na kufundisha mabadiliko tuwe tunazungumza uhalisia wa maisha yetu ambao unajengwa na haya yafuatayo;

Uvumilivu
Kuwa mvumilivu katika maisha yake ya kila siku hasa ukizingatia kuwa tunakutana na mambo mbali mbali yasiyotuvutia katika mahusiano yetu, mengine ni magumu na yanayokwenda kinyume kabisa na matakwa yetu au mazoea yetu ya binafsi. Ifahamike kwamba wewe kama mwanamke shujaa inapotokea umekutana na mambo kama haya hupaswi kuonyesha hasira zako wazi wazi kama vile; chuki, kulaumu, ugomvi, vurugu, malalamiko, manung’uniko, machafuko, kulipa kisasi au aina yoyote ya uharibifu kutokea kwako au ndani mwako. Hivyo mwanamke shujaa huwa ni heri kila anapokuwa kwani hutunza amani ya eneo alipo.

Upendo wa dhati
Maisha ya upendo wa halisi na sio wa kinafki kwa jamii inayomzunguka. Tabia ya upendo wa halisi ina thamani kubwa sana kuliko mali nyingi, pesa, elimu ya juu n.k. wewe unaweza kabisa kuwa na elimu ya juu sana na pesa nyingi sana lakini pasipo upendo wa halisi ni sawa na kusema kopo zuri kwa nje na ndani hamna kitu. Nguzo kuu ya maisha ya mwanamke shujaa ni Upendo wa dhati na uhalisia.

Utii kwa kwa jamii
Maisha halisi ya utii katika jamii inayokuzunguka  ili kuweza kuyafanyia kazi yale yote uliyojifunza na pia kuyatenda kwa ufasaha pasipo kupita kona yoyote. Utii  kwa jamii ni ufunguo mmoja wapo utakaokusaidia kufanikisha mambo yako na malengo yako kama mwanamke shujaa.

Uaminifu katika jamii
Kuishi maisha ya uaminifu wa kweli na uhalisia katika jamii inayomzunguka. Uaminifu wa kweli huonekana nyakati zote na siyo tu wakati mtu anapokuwa mbele za watu wanaomjua bali hata wale wasiomjua na hata anapokuwa mahali peke yake aweze kutunza uaminifu wake kwa faida ya jamii nzima. Mwanamke shujaa hujitahidi sana kutunza uaminifu wake katika sekta zote.

Unyenyekevu wa kweli
Kuishi maisha halisi kabisa ya unyenyekevu kwa jamii inayomzunguka, unyenyekevu ni kinyume kabisa na kiburi, majivuno, kujigamba, kujikweza, kujiinua, kujiona,na hata kjitanguliza mbele kwa kila jambo. Mwanamke shujaa huwa ni mnyenyekevu wakati wote na hana makuu daima.

Uwajibikaji wa dhati
Maisha halisi ya uwajibikaji akiangalia majukumu yake yote yanayomkabili na kuhakikisha anafanya kwa moyo bila kuwa na tabia ya kusaidiwa majukumu yake. Mwanamke shujaa ni mfano wa kuigwa kutokana na uwajibikaji wake.

Ushirikiano wa dhati
Ushirikiano katika jamii inayomzunguka. Sisi wanawake mashujaa yatupasa kujua dhahiri kuwa kazi ya kubadili tabia na kufanya wengine wabadilike kwa lengo la kupata familia bora ni lazima kuwa na ushirikiano wa kweli ambao utajenga tabia ya kuaminiana na kunai mamoja katika harakati hizi za kuandaa/ kujenga familia bora.

Utaratibu wa kazi/mpangilio
Katika utaratibu wa maisha yake, pamoja na mpangilio mzuri wa mambo yanayomzunguka hii itakusaidia kuwa na muda mzuri wa kufanya shughuli zako na pia kutekeleza majukumu yako ya kila siku kama mwanamke shujaa. Hakuna njia yoyote ya kukuwezesha kukua na kuendelea katika maisha yako bila kuwa na utaratibu na mpangilio wa mambo yako.

Kufanya tathimini


Kuweza kufanya tathimini ya yale yote anayoyafanya katika maisha yake ya kila siku, pengine ni mfanyabiashara, mfanyakazi, mkulima n.k kama mwanamke shujaa yakupasa kutathimini shughuli zako kama zinaleta faida/hasara kwa familia na jamii yako inayokuzunguka. Ukiona faida ni kubwa unaendelea na hiyo shughuli lakini kama hasara ni kubwa unajiweka katika nafasi ya kubadilisha aina ya shughuli mara moja bila kupoteza wakati.
 (SOURCE, MUUNGWANA BLOG, May 23, 2020)

Read More

HOW DID ARCH. BISHOP BENSON IDAHOSA DIE?

-In loving memory of Benson Idahosa It's 21 years that the icon and ambassador of the gospel of Christ to the world, Benson Idahosa went to be with the Lord. No man has ever challenged me unto practical Christianity than this man... I have read about him from birth to death... Every book he ever wrote and the ones that were written about him has formed my Christian ideologies... That's why if you have not heard me talk about him, I can be sure to say that you have never heard me. In my little life as a Christian, I have tried to practice everything I saw in my Bible, down to laying hands on the living and the dead because heard him and read him.... He continues to speak loudly even in death. What many do not know is that he actually described in vivid terms how he was to depart when his time was over and that was exactly what happened on the day he died at the ripe young age of 59 years and 6 months. His last sermon was titled “Benefit of Death”....he kept on shouting that day as I watched "For me to live is Christ, for me to die is gain" and he asked.... Are you afraid of gain? Why are you afraid of death??? That message was another evidence that as controversial as he might have seemed, truly, Idahosa was a man of God. He said too... “I will go when my work is finished; therefore when I am gone nobody should be double-minded concerning the will of God for my death.


 I am going to go by the will of God, not the will of witches or wizards. No man can kill me. Many have tried to hurt me spiritually and physically to no avail. God has not given the key of the vault in which he has hidden me to any man or devil. He did not invest so much in me only to hand me over to the devil to fulfil his dark and unholy idiosyncrasies. I am indestructible by the grace of God, so are you if you know my Jesus. You know, here in Edo land, I do not know about you and where you come from, but here in Edo land, where I am from, when a man dies, the wife is always accused of having killed him. I share a beautiful life with my wife Margaret, at least as beautiful as my human nature and God’s grace in my life can make it. She is not dreaming of killing me-she is the flesh of my flesh and bone of my bones, the wife of my youth and the mother of my lovely four children. No, when I go it will be by the will and call of God. You may ask if I am preparing to die. Not at all. I hope to live for at least one hundred and twenty years. I look forward to when I will hobble into the church with my walking stick and sit back on my big chair to listen and watch my children in the ministry show forth the stuff which God has invested in them through the ministry of God committed to me. But, and this is the big But… if the Lord calls me before then, if He calls me NOW, I am ready to answer ‘’Here I am O Lord’’ with joy and expectation because death is gain. Yes, yes! Ha, I see heaven open and the voice that I hear says "Come up hither!’’ My going will be a Glorious one, I will NOT be sick and be taken from one hospital to the other. Like Elijah, whew! I will be gone before you can say Jack Robinson… No. Nobody will mourn me with regret because of a prolonged illness. Nobody will have the pleasure of sympathising with me because of long suffering; that is one of the gifts which I do not have: the gift of Lo-o-ong suffering! When my day comes, I may be sitting with people in the Church and will go when I hear the call like Rev. Gordon Lindsay did. It is a glorious way to depart. I MAY BE WITH PEOPLE AT HOME AND WHILE WE ARE TALKING, I WILL BE GONE JUST LIKE THAT.

On Thursday, the 12th March, 1998, Idahosa started the day as busy as always. In his office he asked for a cup of tea which he did not drink up. He told one of his staff members; ‘’I am going home’’. This was not strange. But when he repeated it unnecessarily, there was a reason to suspect the unusual but no notice was taken of it. Later that afternoon, at lunch with his guests, he spoke about heaven. He asked them whether they believed it was possible for one to walk to heaven like Elijah did? He said he would prefer to be translated like Enoch and Elijah. He told them he had a heavenly drink in his cup. He took the “pure heaven” juice on the table and drank from it, making a humorous statement about going to heaven. The drink tasted like heaven’s drink he told his guests. His high sense of humour was on parade. On that day he had received "members of an educational foundation team from the U.S.-based Oral Roberts University" at the Christian Faith University after ministering in church. He excused himself to go to Miracle Centre, his Church office and prayed with different segments of people at the Church Office and including the Bible School students before he went back to meet his guests at home. It was a busy period at the headquarters of CGMII, the Archbishop had just returned from one of his many tours, this time from the UK. Members of the Oral Robert University Educational Fellowship (OREF) were at the headquarters of Word of Faith Group of Schools for the yearly OREF program. They were led by Professor Don Petri, a friend of the Benson Idahosa University and a Professor of Christian Education at the Oral Robert University. Both he and all the American participants at the conference were guests at the Archbishop’s home. It was an early afternoon and Idahosa and his guests were at the table.

A characteristic humour of the Archbishop eliciting laughter and chatter punched with the lunch. It was a sumptuous meal and both local and international guests were satisfied. Pure heaven was the name of the drink they all were drinking as he came... The caption started another round of conversation. It was about heaven. Then suddenly, there was a hush as the Archbishop broke into the good natured conversation and asked. “how many of you are ready to go to heaven right now? You see he continued; “all Christians talk about heaven and its beauty and desirability but not one is prepared to go there straight away”. I have news for you. I am prepared to go to heaven right now, anyone going with me? Everyone was silent. The mood of the diners changed and they went to their rooms. The Archbishop called for Professor Don Petri to join him in one of the mainly sitting rooms in the new Benson Idahosa University. He indicated those aspects of the master plan he had implemented and requested the professor to continue from where he was ending. Yet Professor Don Petri did not understand the meaning of the Archbishop’s words.


 The Archbishop was the symbol of the university. It could not have entered the mind of anybody that he would be translated a few minutes after. Shortly after he had spoken instructing a deaconess on what the guests should eat for dinner, he began to repeat the words ‘Thank you Jesus’ then suddenly threw his head back on the easy chair and gave up the ghost!!! Professor Don Petri did not immediately understand until he saw the body slumping off the chair then Don Petri rushed at him calling for help and laying him on the rug. He tried all the resuscitation techniques that he knew but to no avail, they called for help from the Faith MediPlex but the doctors testified that from the moment he hissed that sigh of relief, he had clearly departed. His going was an air of finality which the doctors knew but could not admit. He was not sick. He never had high blood pressure.

He was never down. Even the doctors were surprised that he died because he was not sick at all”. “I MAY BE WITH PEOPLE AT HOME AND WHILE WE ARE TALKING, I WILL BE GONE JUST LIKE THAT. That will be a precious death”. He once said days before! Archbishop Benson Idahosa, the undisputed Prophet and Apostle of Christendom in the twentieth century went to be with the Lord in gloriously! The mantles of men like this are resurfacing again! If you are hungry enough and you are serious... Let us pray! Source: K.O Amadi
Read More