Yesu Alikuwa na Sifa za Kipekee

 



 Ni Yesu Kristo pekee ambaye angeweza kutekeleza dhabihu ya kulipia dhambi—akiwa amezaliwa na mama mwanadamu, Maria, na akiwa amepokea nguvu za uzima kutoka kwa Baba Yake (ona Yohana 5:26). Kwa sababu ya nguvu hizi za uzima, Alishinda mauti, nguvu za kaburi zilibatilishwa, na akawa Mwokozi na Mpatanishi na Bwana wa Ufufuko—njia ambayo kwayo tunapata wokovu na uwezo wetu sisi sote wa kuishi milele. Tutafufuliwa na kuishi milele kwa sababu ya dhabihu ya Yesu Kristo ya kulipia dhambi.

No comments:

Post a Comment