Rais wa Jamhuri ya Watu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitoa Heshima za Mwisho

  

 


Rais wa Jamhuri ya Watu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitoa Heshima za Mwisho kuaga Mwili wa aliyekuwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye Mazishi ya Kitaifa yaliyofanyika leo March 22,2021 katika Uwanja wa Jamhuri JIjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment