Rais wa Jamhuri ya Watu wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi akitoa Heshima za Mwisho kwa Mpendwa wetu Hayati Dkt Magufuri

  


 

 

Rais wa Jamhuri ya Watu wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi akitoa Heshima za Mwisho kuaga Mwili wa aliyekuwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye Mazishi ya Kitaifa yaliyofanyika leo March 22,2021 katika Uwanja wa Jamhuri JIjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment