Call us +255 656 586514

Thursday, March 25, 2021

Wananchi wa Katoro Geita na Buseresere Chato Wakisimama Barabarani Kumuaga Hayati Rais Dkt John Pombe Magufuri

 

 

 


 

Wananchi wa Katoro Geita na Buseresere Chato wakiwa wamesimama barabarani huku wengine wakitandika kanga na nguo kama ishara ya Heshima ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Awamu ya tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati akipitishwa kuelekea Nyumbani kwake Chato leo tarehe 24 Machi 2021.

0 Comments:

Post a Comment