Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli - Tutakukumbuka Baba kwa Mengi Uliyoyafanya Mazuri

 

 

 


 

Ndugu John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo umeumaliza, Imani Umeilinda. 
 
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe. Amina!

No comments:

Post a Comment