Wanaume kabla ya kuoa huangalia mwanamke mwenye sifa hizi

    Wanaume wengi wanapofikia hatua ya kuoa si kwamba wanakurupuka tu na kuoa mwanamke yeyote mwenye sura nzuri, bali huchukua muda wao mwingi kuchunguza mambo mengi juu ya wake ambao wanadhani kwamba wanaweza kuwa pamoja kwa kipindi chote cha maisha.Wanawake wengi wanajisahau na kudhani kwamba kitu kinachoweza kuwafanya...
Read More

Vyakula vya Kuepuka Kula kwa Wanaume

  Katika makala hii hii utajifunza vyakula mbalimbali ambavyo wanaume hawatakiwi kula ili kubaki na afya bora wakati wote. Kuna vingine unaweza kuwa unavitumia kila siku bila mwenyewe kujuwa.Punguza kula vyakula feki kuzuia kupoteza nywele Moja ya matatizo makubwa upande wa urembo kwa wanaume ni kupoteza nywele (upala). Lakini...
Read More

Rais wa Jamhuri ya Watu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitoa Heshima za Mwisho

   Rais wa Jamhuri ya Watu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akitoa Heshima za Mwisho kuaga Mwili wa aliyekuwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye Mazishi ya Kitaifa yaliyofanyika leo March 22,2021 katika Uwanja wa Jamhuri JIjini Dodom...
Read More

Rais wa Jamhuri ya Watu wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi akitoa Heshima za Mwisho kwa Mpendwa wetu Hayati Dkt Magufuri

    Rais wa Jamhuri ya Watu wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi akitoa Heshima za Mwisho kuaga Mwili wa aliyekuwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwenye Mazishi ya Kitaifa yaliyofanyika leo March 22,2021 katika Uwanja wa Jamhuri JIjini Dodom...
Read More

Maneno Machache ya Hotuba ya Rais Mama Samia Suluhu Hassan

  "Kifo ni fumbo kubwa, tulizoea kumuona Dkt.Magufuli akiwa kwenye kile kiti nilichokaa Mimi, leo hatupo nae, Juzi ilinipa ugumu kutangaza kifo cha Rais wangu ila nikaambiwa hakuna mwingine wa kutangaza na leo tena nipo hapa huku Hayati Magufuli akiwa kwenye Jeneza.  Nilihusudu utendaji wa Hayati Magufuli tangu nikiwa...
Read More

Picha Rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan. Mungu Akulinde Rais wetu

    Picha Rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.Mama Yetu Tunakupenda Sana, Mungu akupe nguvu ya kuendelea pale Baba Magufuri alipo achia....
Read More

Buriani Hayati DKT John Magufuri wana Katoro Geita na Chato Wanakulilia,

   Citizens of Katoro Geita and Buseresere Chato standing on the road while others are putting cloth and cloth as a sign of respect to the former President of the Republic of Tanzania in the fifth term Hayati Dr. John Pombe Magufuli when he was passed to his home in Chato today 24th March 202...
Read More

Wananchi wa Katoro Geita na Buseresere Chato Wakisimama Barabarani Kumuaga Hayati Rais Dkt John Pombe Magufuri

    Wananchi wa Katoro Geita na Buseresere Chato wakiwa wamesimama barabarani huku wengine wakitandika kanga na nguo kama ishara ya Heshima ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Awamu ya tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wakati akipitishwa kuelekea Nyumbani kwake Chato leo tarehe...
Read More

Wasifu wa marehemu DKT John Pombe Magufuli

  John Pombe Joseph Magufuli alikuwa rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Alichaguliwa Oktoba 2015 na kurithi mikoba ya Jakaya Mrisho Kikwete. Alikuwa mwanasiasa mwenye sifa ya uchapakazi na asiye na mazaha. ...
Read More

Anna Tusajigwe Mwakasege, Ni Rubani aliyeuaminiwa kuendesha ndege iliyobeba mwili wa Rais Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuri

 Huyu ni mmoja wa marubani wawili waliorusha ndege iliyobeba mwili wa Rais Magufuli. Anaitwa Anna Tusajigwe Mwakasege. Ni binti wa pili wa Mwalimu Christopher na mama Diana Mwakasege.Anna alipata maono ya kuwa rubani akiwa darasa la 3 tu. Baba yake akampeleka uwanja wa ndege angalau kuona ndege "live" badala tu ya kuziona angani tu....
Read More

Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli - Tutakukumbuka Baba kwa Mengi Uliyoyafanya Mazuri

    Ndugu John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Umevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo umeumaliza, Imani Umeilinda.  Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe. Amin...
Read More

Mama Samia Suluhu Hassan Kuwa Mrithi wa Rais John Pombe Magufuri

   Mama Samia Suluhu Hassan ambaye amekuwa Makamu wa Rais toka mwaka 2015 sasa atakuwa mrithi wa rais John Magufuli ambaye amefariki jana Jumatano Machi 17.Samia atashikilia wadhifa huo kwa kipindi kilichosalia cha cha muhula wa urais mpaka 2025, kwa mujibu wa katiba ya Tanzania. Anatarajiwa kuweka rekodi ya kuwa mwanamke...
Read More

Yesu Alivumilia hadi Mwisho

 Yesu Alivumilia majaribu, mateso, dhabihu, na dhiki za Gethsemani, pamoja na kuteseka kwake kule Golgotha msalabani. Kisha, hatimaye, Aliweza Kusema, Imekwisha (Yohana 19:30). Alikuwa amekamilisha kazi Yake akiwa katika hali ya mauti na kuvumilia hadi mwisho, hivyo basi kukamilisha dhabihu ya kulipia dhambi.Katika bustani Alisema,...
Read More

Yesu Alikuwa na Sifa za Kipekee

  Ni Yesu Kristo pekee ambaye angeweza kutekeleza dhabihu ya kulipia dhambi—akiwa amezaliwa na mama mwanadamu, Maria, na akiwa amepokea nguvu za uzima kutoka kwa Baba Yake (ona Yohana 5:26). Kwa sababu ya nguvu hizi za uzima, Alishinda mauti, nguvu za kaburi zilibatilishwa, na akawa Mwokozi na Mpatanishi na Bwana wa Ufufuko—njia...
Read More