ANGALIZO


WEBSITE HII IPO KWA AJIRI YA WAKRISTO WOTE. HAIFUNGAMANI NA DINI AU KANISA LOLOTE LILE.

Contact Us

Christian Online Services Organization
P.O.Box 212
Bagamoyo - Pwani
Tanzania

Email: christianonlinetz@gmail.com



POWERED BY:
TCDI

Contact Us

Name

Email *

Message *

Web Traffic


CONTACT US TO BE LISTED ON CHIRISTIAN MAGAZINE

CONTACT US TO BE LISTED ON  CHIRISTIAN MAGAZINE

Search

Blog Archive

Christian Online Membership

Follow us on Facebook

KUFUNGWA USIONE NAFASI

 





Na Mchungaji kiongozi Josephat Gwajima , Ufufuo na uzima


Kuna uwezekano wa mtu kufungwa asione nafasi (opportunities) ambayo Mungu amempa kwaajili ya mafanikio yake. Shetani anaweza kumfunga mtu ili asione nafasi ya mafanikio yake.

Siku moja nilialikwa na mtu mmoja mwenye ofisi kubwa ili kuwashauri watu fulani. Nikiwa ofisini nikakutana na secretary wake. Chaajabu yule secretary aliniona Nikiwa na t-shirt yangu akaniambia nikae nje; hakutaka hata nionane na bosi wake. Baada ya muda yule mtu akampigia secretary kumuuliza kuwa ""baba" amefika ofisini?" ndipo yule secretary alipofahamu kuwa hata bosi wake ananiita baba.

Alishtuka sana na kuanza kuomba msamaha. Tatizo la yule secretary ni kwamba alifungwa asinijue. Nafasi uliyonayo, elimu au Shetani anaweza kukuficha usione nafasi ambayo Mungu amekupa Katika maisha yako.

Katika Jina la Yesu nakuweka huru kutoka Katika vifungo vya kutoona Katika Jina la Yesu.
- Mch. Josephat Gwajima

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © Christian Online Services - East Africa. Designed by OddThemes