ANGALIZO


WEBSITE HII IPO KWA AJIRI YA WAKRISTO WOTE. HAIFUNGAMANI NA DINI AU KANISA LOLOTE LILE.

Contact Us

Christian Online Services Organization
P.O.Box 212
Bagamoyo - Pwani
Tanzania

Email: christianonlinetz@gmail.com



POWERED BY:
TCDI

Contact Us

Name

Email *

Message *

Web Traffic


CONTACT US TO BE LISTED ON CHIRISTIAN MAGAZINE

CONTACT US TO BE LISTED ON  CHIRISTIAN MAGAZINE

Search

Blog Archive

Christian Online Membership

Follow us on Facebook

Faida za kuishi bila michepuko katika maisha

 


Kama wewe ni mtu ambaye huchepui, nakupongeza sana na hamna ambacho unakikosa kutoka kwa mweza wako. Watu wengi wanafikiri kuna amani au furaha ambayo wataipata wakichepuka, ukweli ni kwamba kila siku wanazidi kukimbizana na wanawake wapya na hawakipati wanachokipata. Baki njia kuu, hata kama kuna foleni utafika unakoenda kwa amani na bila magonjwa.

Zifuatazo ndizo faida za kubaki njia kuu.
 Utapata ammani moyoni
·Utaepukana na magonjwa
· Utakuwa na Furaha isiyo elezeka
·Utajimini zaidi
 Mke wako atakupenda zaidi (atajua umeacha kuchepuka hata usipomwambia)
· Utafurahia tendo la ndoa zaidi (Michepuko haina chochote cha zaidi ambacho
·mkeo au mumeo hana)Utasonga mbele kimaendeleo
·Utapata muda mwingi wa kuwa na familia yako

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © Christian Online Services - East Africa. Designed by OddThemes