Faida 10 za kiafya za kula tikiti maji

 

 

 

Tikiti maji

 

 Tikiti maji ni moja kati ya matunda muhimu sana katika afya yetu
Tunda hili ni moja ya chanzo cha protini, fati ,Nyuzinyuzi ( fiber ) , Calcium, Phosphorus, Iron, Vitamin A, B6, C. Potasium, Magnesium, Carotene, n.k


Zifuatazo ni faida 10 za kula matikiti maji katika afya yako :


Faida 10 za tikitimaji
1.Hupunguza magonjwa ya moyo

2. Huondoa sumu katika mwili

3. Huzalisha nishati katika mwili

4. Huzuia kansa

5. Husafisha figo

6.Husaidia kupunguza shinikizo la damu

7. Asilimia 92 la tunda hili ni maji

8. Husaidia kupunguza uzito

9. Husaidia kudumisha afya ya macho

10. Husaidia kuponesha vidonda

No comments:

Post a Comment