CHRISSHALOM NA AY

Chrisshalom muimbaji wa Gospel kutoka Nigeria amepost katika ukurasa wake wa instagram kuwa muda sio mrefu atatambulisha wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la AY . Chrisshalom ametaja majina ya nyimbo zake tatu. Power belongs to you, My beutifier , You are the reason na kusema kuwa hivi sasa tarajia Ay...
Read More

MUNGU HATAFUNGUA MILANGO TB JOSHUA

Mtumishi wa Mungu Tb Joshua kutoka Nigeria ameshare na wewe kuwa Mungu hatafungua milango ya hekima kwa yeyote anae weka Biblia chini  na kusema kuwa  anakutia  moyo kusoma neno la Mungu  taratibu na kwa makini tena mara kwa mara pia utafakari katika neno mpaka itakapo kuwa kweli kwako ....
Read More

ALICHOSEMA MZEE WA PAUKO BAADA YA KUZUSHIWA KIFO

Mchungaji Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako kutoka kanisala maombezi (GRC) siku ya jana habari zilikuwa nyingi kuwa amefariki dunia mara yupo mahututi. Mzee wa upakao amekanusha habari hizo baada ya kupost video akiongea kuwa Yupo salama kabisa na anamshukuru Mungu anaamini ipo siku atakufa lakini sio le...
Read More

TATIZO SIO WEMBAMBA TU NILIKUWA NA DHIKI NYINGI MARTHA MWAIPAJA ( VIDEO)

Martha Mwaipaja muimbaji wa  Gospel Tanzania ameshare na wewe mambo mengi kuhusu maisha yake katika Exclusive interview ya Chomoza tv ameelezea kipindi anatambulisha wimbo wake wa usikate tamaa Martha amesema pamoja na kwamba alikuwa mwembamba alikuwa na dhiki nyingi katika maisha yake na kwamba maisha ya Martha wa leo sio ya jana...
Read More

PESA HAIKUFANYI KUWA MTUMISHI MKUBWA ANGEL BENARD

Angel Benard asubuhi leo ametoa somo kwa watu kuwa kuwa na pesa hakukufanyi kuwa mtumishi wa Mungu mkubwa Angel ametoa mfano kwenye biblia. Ambao unaomuonesha Petro katika Matendo ya mitume 3:6 ambapo alisema kuwa sina fedha wala dhahabu lakini nilichonacho ndicho nikupacho . ANGELBENARDOFFICIAL Matendo3:6Lakini Petro akasema, Mimi...
Read More

GOODLUCK GOZBERT: NILIOMBA KWA AJILI YAKO OMMY DIMPOZ

Ommydimpoz ambae alizungumza katika kipindi cha Dadaz na kusema kuwa wakati anaumwa alikuwa akifarijiwa na nyimbo za Goodluck Gozbert . Goodluck amepost video Ommy akisema hivyo na kusema popote ulipo na unasikiliza nyimbo zake anajivunia wewe lakini pia anakuombea kutoku kata tamaa kwa hali zote. Goodluck amesema asante Ommy dimpoz...
Read More

MPAKA UBADILI MTAZAMO JESSICA HONORE

Jessica honore amekukumbusha kuwa katika maisha kuna vifungo vingine havikuachi mpaka umebadilisha mtazamo wako .Jessica amesema ni maombi yake juu yako macho yako ya ndani yakafunguke ukatambue yaliyofichika katika ufunuo wa Kiungu. OFFICIALJESSICAHONORE Kuna vifungo havitakuacha paka umebadili mtazamo wako! Ni maombi...
Read More

UFALME WA MUNGU SIO WA HISIA

Mercy Masika muimbaji wa Gospel Kutoka nchini Kenya amesema watu wengi wamekuwa wakisema hawajisiki kuomba mara hawa hisi nguvu ya Mungu kuwepo Mercy amesema huu ufalme wa Mungu sio wa hisia na adui akijua wewe unatembea kwa hisia atafanya chochote kuhakikisha huombi . Atafanya chochote ujisikie uchovu usisome neno la Mungu maamuzi...
Read More

TUNA HATARI ZAIDI AMBWENE MWASONGWE

Ambwne Mwasongwe muimbaji Gospel Tanzania amesema wao wanaosimama mbele za watu wanahatari zaidi amesema watu wengi wanaimba wakidhani wanamwabudi Mungu , wanapiga vyombo kwa ustadi ,wanaruka,wanaomba .Lakini yawapasa kufahamu kuwa tendo lolote la Ibada ambalo halijampa Mungu nafasi ya kwanza haliwi ibada kwa Mungu. Kama utasimama...
Read More