ANGALIZO


WEBSITE HII IPO KWA AJIRI YA WAKRISTO WOTE. HAIFUNGAMANI NA DINI AU KANISA LOLOTE LILE.

Contact Us

Christian Online Services Organization
P.O.Box 212
Bagamoyo - Pwani
Tanzania

Email: christianonlinetz@gmail.com



POWERED BY:
TCDI

Contact Us

Name

Email *

Message *

Web Traffic


CONTACT US TO BE LISTED ON CHIRISTIAN MAGAZINE

CONTACT US TO BE LISTED ON  CHIRISTIAN MAGAZINE

Search

Christian Online Membership

Follow us on Facebook

TUNA HATARI ZAIDI AMBWENE MWASONGWE








Ambwne Mwasongwe muimbaji Gospel Tanzania amesema wao wanaosimama mbele za watu wanahatari zaidi amesema watu wengi wanaimba wakidhani wanamwabudi Mungu , wanapiga vyombo kwa ustadi ,wanaruka,wanaomba .Lakini yawapasa kufahamu kuwa tendo lolote la Ibada ambalo halijampa Mungu nafasi ya kwanza haliwi ibada kwa Mungu.


Kama utasimama mbele na kuimba mtazamo wako ukawa ni kuwafurahisha watu basi umewaabudu hao watu kama utacheza step nzuri sana ili watu wakuone basi hujamwabudu Mungu. Umeabudu uliowapa nafasi.
Kama utasimama mbele na kuimba huku mtazamo wako ni kuwafurahisha watu basi umeabudu hao watu, kama utacheza step nzuri sana ili watu wakuone basi hujamwabudu Mungu umeabudu uliowapa NAFASI, kama umefunga ili watu wakuone una uwezo wa kufunga umeshapata thawabu kwa watu hao na si kwa Mungu. NDIO MAANA NI VIBAYA SANA KUTAKA MAONI YA ULIVYOIMBA, HUBIRI, CHEZA NK KWA WATU MAANA UNAKUWA UMEKWAMA KUMUABUDU ANAYESTAHILI KUPOKEA HUO UTUKUFU BADALA YAKE UMEUPOKEA WEWE.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © Christian Online Services - East Africa. Designed by OddThemes