MOJA YA KANISA LA KALE RUNGWE

 Moja ya kanisa linalotajwa kuwa la kale zaidi wilayani Rungwe. Kanisa hili linapatikana kijiji cha Ndubi/ Kisa, Kata ya Kisondela...
Read More

MAANA YA PALLIUM

Hili ni vazi ambalo huvaliwa na Baba Mtakatifu, Maaskofu Wakuu na Patriaki wa Yerusalem tu. Ieleweke wazi kuwa siyo kila Askofu Mkuu huvaa Pallium. La hasha! Huvaliwa tu na Maaskofu Wakuu ambao ni Maaskofu-Jimbo (yaani wana majimbo wanayoyaongoza).Hata hivyo, huvaliwa tu na Askofu Mkuu awapo ndani ya majimbo yanayounda Jimbo Kuu lake. Mfano...
Read More

Mwelekeo Mpya wa FPCT Tanzania

 Katika awamu ya tano  ya  Kanisa  la FPCT  chini ya  uongozi wa Askofu Mkuu , Mch Stevie Mulenga, Mungu ametupa neema ya mwelekeo au dira  inayofahamika kama  4U. Lengo  kubwa  likiwa kusimamia  katiba yetu, kurahisisha utekelezaji wa mpango mkakati wa FPCT ...
Read More

Orodha ya Makanisa FPCT Tanzania

 Takwimu zinaonyesha hadi sasa kuna;MAJIMBO 24,MAKANISA YA MAHALI 274,PARISHI 1098,MATAWI 4680 naKazi Mpya 686.(ARTICLE FROM FPCT WEBSITE, 202...
Read More

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YATANGAZA MAENEO RASMI YA KUANZISHA BUCHA ZA WANYAMAPORI

 BAADA ya watanzania kusubri kwa muda mrefu kufunguliwa kwa bucha za Wanyayapori hapa nchini hatimaye Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt.Aloyce K.Nzuki, ametangaza rasmi maeneo ya  kuanzisha bucha za Wanyamapori.Akitoa taarifa hiyo mbele waandishi wa habari leo katika Ofisi za makao makuu ya Mamlaka ya Usimamizi wa...
Read More

NI MUNGU PEKEE NDIYE ANAYEDUMU MILELE

 Mfanye Mungu awe kila kitu katika Maisha yako wala usizipe nafasi changamoto maana Mungu uliyenaye ni Mkubwa kuliko hizo changamoto.Wakati mwingine changamoto zipo na ni nyingi sana na haujui hata ufanye nini, inafika mahali unakata tamaa kwa maana hauoni njia ya kutoka; Mwanangu usizitazame hizo changamoto zitatoweka, hakuna changamoto...
Read More

Mgombea Urais CHADEMA Anena

 "Tunataka maamuzi ya Ardhi ya Karagwe, yafanywe na watu wa Karagwe, sio wageni tunataka mambo yanayotuhusu wananchi wa Karagwe, Singida, Dodoma au Chato, wafanye wananchi wenyewe, ndio maana ya utawala wa Majimbo tunaouzungumzia"- @TunduALissu #Karagwe#Uchaguzi2020 Chadema...
Read More

Mama Mzazi wa Muugizaji Maarufu RAMBO afariki dunia

 Mama mzazi wa mcheza sinema maarufu wa Hollywood, Sylvester Stallone aka Rambo, Jackie Stallone, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 98. Kupitia ukurasa wake wa twitter, mwanaye mdogo Frank Stallone ameandika kuwa mama yao huyo amefariki akiwa usingizini na kuongeza kuwa wamepokea kifo hicho kwa uchungu na maumivu makubwa. “Asubuhi...
Read More

Makosa yanayofanywa na wanawake wengi katika mahusiano ya kimapenzi

 Hakuna kitu kizuri kwenye uhusiano kama kuishi vizuri, uhusiano usiwe na ugomviugomvi wa kila mara. Kila mmoja aujue wajibu wake kwa mwenzake, amsome mwenzake ni mtu wa aina gani ili kuweza kujua namna ya kuishi naye. Mathalan ni vyema kumsoma mwenzi wako kama ni mtu wa hasira sana, ujue namna ya kuishi naye. Anapokuwa na hasira, usimueleze...
Read More