ANGALIZO


WEBSITE HII IPO KWA AJIRI YA WAKRISTO WOTE. HAIFUNGAMANI NA DINI AU KANISA LOLOTE LILE.

Contact Us

Christian Online Services Organization
P.O.Box 212
Bagamoyo - Pwani
Tanzania

Email: christianonlinetz@gmail.com



POWERED BY:
TCDI

Contact Us

Name

Email *

Message *

Web Traffic


CONTACT US TO BE LISTED ON CHIRISTIAN MAGAZINE

CONTACT US TO BE LISTED ON  CHIRISTIAN MAGAZINE

Search

Christian Online Membership

Follow us on Facebook

Rais Magufuli atajwa kati ya watu 10 walioleta mabadiliko Afrika






Utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli unaendelea kuonekana nje ya mipaka , baada ya Jarida kubwa la African Report kumtaja Kama miongoni mwa watu 10 walioleta mabadiliko makubwa barani Afrika

Jarida hilo limemtaja Rais Magufuli kama kiongozi aliyeweza kufanya mapinduzi makubwa katika miradi ya Kiuchumi na kijamii , na kusababisha uchumi wa Tanzania kua ni uchumi unaokua kwa kasi zaidi barani Afrika

Pia limemuelezea Rais Magufuli Kama kiongozi aliyeweza kurejesha nidhamu ya kazi kwa viongozi wa umma, kudhibiti rushwa na Kupunguza matumizi mabaya ya kodi za wananchi

Vilevile limesifia juhudi zake za kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji nchini Tanzania, pamoja na kujitolea kupunguza mshahara wake kipindi alipoingia madarakani.


MUUNGWANA BLOG, JUNE 7 2020

Share this:

 
Copyright © Christian Online Services - East Africa. Designed by OddThemes