Mtumishi wa Mungu David Yongg Choo ambaye ndiye aliyekuwa na kanisa kubwa la wokovu duniani amenyakuliwa na bwana. Mchungaji David atakumbukwa namna alivyo itangaza inchili ya Yesu katika nchi ya Korea na Asia kwa Ujumla.
Mtumishi wa Mungu David Yongg Choo ambaye ndiye aliyekuwa na kanisa kubwa la wokovu duniani amenyakuliwa na bwana. Mchungaji David atakumbukwa namna alivyo itangaza inchili ya Yesu katika nchi ya Korea na Asia kwa Ujumla.
0 Comments